Country: Pwani
Hapa ni Kijiji cha GADAGADA-MWANZEGA.
Njia ya kuelekea KISIJU baada ya MKURANGA MJINI.
Ni wastani wa kilomita 13 kutoka Kijiji cha MBEZI na ni jirani na KIJIJI CHA WASANII.
Sehemu kubwa ya Shamba haijawahi kulimwa.
Ina Majani Mafupi hivyo,
Halihitaji nguvu kubwa kulisafisha.
Vilevile Ardhi yake ina Majimaji baadhi ya sehemu kuna Madimbwi yasiyokauka Mwaka mzima.
Umiliki ni MKATABA WA MAUZIANO.
TUNAHITAJI MNUNUZI WA SHAMBA LOTE.
_________________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu.
_________________sl
Hapa ni Kijiji cha GADAGADA-MWANZEGA. Njia ya kuelekea KISIJU baada ya MKURANGA MJINI. Ni wastani wa kilomita 13 kutoka Kijiji cha MBEZI na ni jirani na KIJIJI CHA WASANII. Sehemu kubwa ya Shamba haijawahi kulimwa. Ina Majani Mafupi hivyo, Halihitaji...
https://advertisingdar.co.tz/ad/shamba-bikira-ekari-120-tshs-120-milmkuranga/
Copyright 2025 © Advertising Dar. All Rights Reserved. Powered by Mindfield.