Kiwanja kina ukubwa wa SQM.4,450.
Nyumba imezunguushiwa Ukuta yote,
Na ipo umbali wa kilomita 1.5 kutoka Barabara ya Morogoro.
Vyumba 4 ( 2 vyoo ndani)
Pia kuna Sebule,Jiko,Dining-room,
Store na Choo cha Familia ndani.
Pia kuna Mabanda Matatu.
___________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali Wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratibu zangu.
___________mpg
Ukihitaji kukagua taarifa mapema tafadhali.