Ipo umbali wa kilomita 9 kutoka MBEZI MWISHO/TSAND YA MAGUFULI na ni kilomita 3 kutoka MADALE MWISHO.
Kiwanja kina ukubwa wa Mita za Mraba 400.
Umiliki ni MKATABA WA MAUZIANO.
______________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuina ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe Mnunuzi)
Wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratibu zangu.
______________mpg
Ujenzi wa kisasa.
Vyumba 3 (Masta1) Pia kuna Sebule, Jiko, Dining, Store na Choo cha Familia ndani.
Ukihitaji kuikagua taarifa mapema tafadhali.