Kiwanja kina ukubwa wa SQM. 460.
Umiliki ni MKATABA WA MAUZIANO.
Vyumba 3 ( Masta 1) Pia kuna Sebule,Jiko,
Dining-room,Store na Choo cha Familia ndani.
Nyumba ipo ndani ya Fensi yote.
__________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali Wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratibu zangu.
__________mskvl
Ukihitaji kukagua taarifa mapema.