Nyumba ya kisasa ya kuingia tu.
Umiliki ni MKATABA WA MAUZIANO.
Kiwanja kina ukubwa wa Mita za Mraba (SQM) 500.
_____________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuina ni Tshs.50,000.
(Unalioa wewe Mnunuzi)
Wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratibu zangu.
_____________
Hij nyumba mpya ya kisasa na ya hadhi.
Vyumba 3 (Masta 1 )
Nyumba ni kali kali kweli.
Wahi kabla hujachelewa.