Country: Pwani
Hizi nyumba zimetenganishwa na Barabara.
Zipo Ukuni, Bagamoyo.
Ni za kisasa, kila moja ina nafasi na ni nzuri.
1.Ina jumla ya vyumba 3 (Masta 1)
Sebuke,Jiko,Dining,Store na Choo cha Familia ndani.
Parking ipo.
Kiwanja kina ujubwa wa SQM.800.
Umiliki ni HATI (Title Deed) ya Wizara.
Bei Tshs.75 Milioni.
2.Hii ina jumla ya vyumba 4 (Masta)
Pia Sebule,Jiko,Dining,Storw na Chok cha Familia ndani.
Kiwanja kina ukubwa wa Mita za Mraba 1,200.
Parking ipo.
Umiliki ni HATI (Title Deed) ya Wizara.
____________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kukna ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe Mnunuzi)
Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratibu zangu.
____________
Nyumba zote zimejengwa kisasa
Na finishing ni za Tiles,Gypsum,Dirisha za Vioo.
Ukihitaji kukagua taarifa mapema tafdhali.
Hizi nyumba zimetenganishwa na Barabara. Zipo Ukuni, Bagamoyo. Ni za kisasa, kila moja ina nafasi na ni nzuri. 1.Ina jumla ya vyumba 3 (Masta 1) Sebuke,Jiko,Dining,Store na Choo cha Familia ndani. Parking ipo. Kiwanja kina ujubwa wa SQM.800. Umiliki ...
https://advertisingdar.co.tz/ad/nyumba-mbili-zilizopo-jirani-zinauzwa-bagamoyo/
Copyright 2025 © Advertising Dar. All Rights Reserved. Powered by Mindfield.