Country: Dar es Salaam
Kiwanja kina ukubwa wa SQM.1,000.
Umiliki ni MKATABA WA MAUZIANO.
Nyumba moja Ina vyumba 5 vya kulala.
3Kati yake 3 vina vyoo ndani.
Nyumba ya Pili Ina vyumba 3 vya kulala.
Ambapo kimoja ni Masta.
Kila moja ina Sebule,Jiko, Store na Choo cha Familia.
Pia kuna Banda la kufugia Kuku.
____________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali Wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratibu zangu.
____________tp
Ukihitaji kukagua taarifa mapema tafadhali.
Kiwanja kina ukubwa wa SQM.1,000. Umiliki ni MKATABA WA MAUZIANO. Nyumba moja Ina vyumba 5 vya kulala. 3Kati yake 3 vina vyoo ndani. Nyumba ya Pili Ina vyumba 3 vya kulala. Ambapo kimoja ni Masta. Kila moja ina Sebule,Jiko, Store na Choo cha Familia...
https://advertisingdar.co.tz/ad/nyumba-mbili-kwenye-kiwanja-kimoja-pugu-kigogo/
Copyright 2025 © Advertising Dar. All Rights Reserved. Powered by Mindfield.