Loading…
Views:
TZS80,000,000.00

NYUMBA 2-NZURI ZINAUZWA PAMOJA, PUGU KAJIUNGENI

0 0 Reviews
Posted on 16 December 2023

Country: Dar es Salaam

  • Bathrooms: more than 3
  • Parking: Outside or Street Parking
  • Type of property: House
  • Available for: Sale

Description:


Mungu akupe nini?

Wahi ujitwalie Mali hii.

Unaweza kuishi hapohapo na pia kuipangisha nyingine au kama unayo Familia kubwa hapa umefika sasa.

Ni nyumba mbili kubwa za kisasa katika Kiwanja kimoja kikubwa.

Unaachiwa kwa Bei rafiki kabisa ya Tsh.80 Milioni kwa zote.

Yaani THEMANINI MILIONI.

Kiwanja kina ukubwa wa Mita za Mraba 500.

Umiliki ni MKATABA WA MAUZIANO. 

Eneo ni jirani na Barabara ya Lami.


______________

ANGALIZO:

Malipo ya Dalali ni 10%

Kuona ni Tshs.50,000. 

(Unalipa wewe Mnunuzi)


Wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratibu zangu. 

______________Tp


Nyumba moja Ina jumla ya Vyumba 4 na ya pili Vyumba 3.

Kila moja inajitegemea.


Huduma za Umeme na Maji zipo. 


Ukihitaji kukagua taarifa mapema tafadhali. 


Write a Review

Select File Select File
Views:
TZS80,000,000.00

NYUMBA 2-NZURI ZINAUZWA PAMOJA, PUGU KAJIUNGENI

0 0 Reviews
Posted on 16 December 2023
Safety tips for deal
  1. Use a safe location to meet seller
  2. Avoid cash transactions
  3. Beware of unrealistic offers
Top