Country: Dar es Salaam
Kiwanja kina ukubwa wa SQM. 1500.
Umiliki ni MKATABA WA MAUZIANO.
Nyumba moja Ina vyumba 4 ( 2 vyoo ndani)
Nyumba ya pili Ina vyumba 3 ( 2 masta)
Kila moja ina Sebule, Jiko, Dining-room,
Store na Choo cha Familia ndani.
Vilevile kuna Servant's Quarter yenye chumba kimoja.
______________
ANGALIZO
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe Mnunuzi)
Tafadhali Wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratibu zangu.
______________mpg
Nyumba hizo zipo ndani ya Fensi na kuna Kisima cha Maji cha kuchimba.
Ukihitaji kukagua, taarifa mapema tafadhali.
Kiwanja kina ukubwa wa SQM. 1500. Umiliki ni MKATABA WA MAUZIANO. Nyumba moja Ina vyumba 4 ( 2 vyoo ndani) Nyumba ya pili Ina vyumba 3 ( 2 masta) Kila moja ina Sebule, Jiko, Dining-room, Store na Choo cha Familia ndani. Vilevile kuna Servant’s Qu...
https://advertisingdar.co.tz/ad/nyumba-2-katika-kiwanja-kimoja-pugu/
Copyright 2025 © Advertising Dar. All Rights Reserved. Powered by Mindfield.