Loading…
Views:
TZS40,000,000.00

APARTMENT 1 NA MAPAGALE-ROOM-4,KIGOGO-FRESH,PUGU

0 0 Reviews
Posted on 21 April 2025

Country: Dar es Salaam

  • Bedrooms: more than 4
  • Bathrooms: more than 3
  • Parking: Parking behind Security Gates, Secure Parking
  • Type of property: Apartment , House , Commercial Property
  • Available for: Sale

Description:

KIGOGOFRESH ni eneo ambalo lipo umbali wa wastani wa kilomita 25 kutoka POSTA baada ya Kituo cha KONA ukielekea CHANIKA. Daladala moja tu unafika Kariakoo. Hizi nyumba zimekusudiwa kuwa za KUPANGISHA. Kuna APARTMENT moja ya kisasa ILIYOKAMILIKA, ambayo ina Chumba kimoja (1) cha kulala, Sebule na Jiko. PIA kuna MAPAGALE MAWILI: ●Lipo lililoishia hatua ya kwenye LINTA. ●Lingine lipo katikati KUFIKIA hatua ya  LINTA. Yote Mawili mpangilio wake ni: ●Chumba 1,Sebule,Jiko,Choo. Kiwanja kina ukubwa wa SQM. 570. Umiliki ni MKATABA WA MAUZIANO.   ____________   ANGALIZO: Malipo ya Dalali ni 10% Kuona ni Tshs.50,000. (Unalipa wewe MNUNUZI) Tafadhali Wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratibu zangu. ____________tp Ukihitaji kukagua taarifa mapema tafadhali.  

Write a Review

Select File Select File
Views:
TZS40,000,000.00

APARTMENT 1 NA MAPAGALE-ROOM-4,KIGOGO-FRESH,PUGU

0 0 Reviews
Posted on 21 April 2025
Safety tips for deal
  1. Use a safe location to meet seller
  2. Avoid cash transactions
  3. Beware of unrealistic offers
Top