AJENTI WA NYARAKA ZA ARDHI NA UTHAMINI

Tegeta, Dar es salaam

Job Type : Permanent
Industry : ARDHI/USIMAMIZI NA UFUATILIAJI WA MALI NA NYARAKA.
Company Name (if applicable) : Mtu Binafsi

Description

Ninaitwa Regina laurent. Nina miaka 27.Mimi ni mtaalamu wa Nyaraka zihusianazo na ardhi, uthamini wa ardhi na majengo, usimamizi wa Mali na mashauriano ya mambo yote yahusianayo na ardhi. Nina astashahada ya USIMAMIZI WA ARDHI, USAJILI WA NYARAKA NA UTHAMINI WA ARDHI NA MAJENGO. Niko huru kufanya kazi kwa kuandikishana mikataba na wateja wangu Pamoja na mikataba ya kujiridhisha. Matumaini yangu ni kuweza kusaidiana na wale wenye uhitaji wa kubinafsisha Mali zao kwa ajili ya umiliki pamoja na upangaji mirathi na wanakosa muda wa kutosha wa kufanya hivo lakini vilevile kutoa ushauri Kuhusiana na mambo yote ya ardhi na namna ya Uwekezaji katika Mali zao kwa manufaa yao ya baadae. Kwa mawasiliano zaidi Piga. 0719211561 /0756558505 au tuma barua pepe kupitia reginalaurent49@gmail.com. 

Send Messages

Send Message
Safety tips for deal
  1. Use a safe location to meet seller
  2. Avoid cash transactions
  3. Beware of unrealistic offers
Existing Users

If you experience any issues with posting ads, or struggle to complete transactions, please notify us via the message app, or by emailing info@advertisingdar.com. Thank you for your patience while we transition to our new platform.

Top