Country: Dar es Salaam
Hii ni nyumba mpya iliyojengwa kisasa (Contemporary design)
Kiwanja kina ukubwa wa mita za mraba 600.
Umiliki ni HATI (Title Deed) ya Wizara.
Vyumba 4 vya kulala ambapo 2 vina Vyoo ndani, Pia kuna Sebule, Jiko,Dining,Store na Choo chanFamikia ndani.
--------------------
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Gharama ya kukagua ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe Mnunuzi)
Wasiliana nami iwapo unaridhia taratibu zangu.
--------------------
Ukihitaji kukagua taarifa mapema tafadhali.
Hii ni nyumba mpya iliyojengwa kisasa (Contemporary design) Kiwanja kina ukubwa wa mita za mraba 600. Umiliki ni HATI (Title Deed) ya Wizara. Vyumba 4 vya kulala ambapo 2 vina Vyoo ndani, Pia kuna Sebule, Jiko,Dining,Store na Choo chanFamikia ndani. ...
https://advertisingdar.co.tz/ad/nyumba-mpya-ya-vyumba-vinne-4-mbw/
Copyright 2025 © Advertising Dar. All Rights Reserved. Powered by Mindfield.