Country: Pwani
Lipo umbali wa kilomita 63 kutoka Dar es salaam Mjini. Na kiilomita 5 tu kitoka Barabara ya Bagamoyo. HIVYO NI MJINI KABISA. Ndani yake kuna: ●Nyumba 2 kila moja inajitegemea. ●Go-down/Ghala la Kuhifadhi Mazao ●Mabanda ya Kufugia Ng'ombe ●Mabanda ya Kufugia Kuku ●Mabwawa Makubwa (2) ya Kufugia Samaki (Na Samaki Hai wapo) ●Miti ya Mbao pamoja na Miti ya Matunda kadhaa. Wahi chukua hili uendeleze Kilimo na Ufugaji sehemu ambayo Mazingira,Miundo-mbinu tayari ipo, Kubwa zaidi ni jirani na Dar Mjini au Bagamoyo. ___________________ ANGALIZO: Malipo ya Dalali ni 10% Kuona ni Tshs.50,000. (Unalipa wewe MNUNUZI) Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu. ____________________/mpg
Lipo umbali wa kilomita 63 kutoka Dar es salaam Mjini. Na kiilomita 5 tu kitoka Barabara ya Bagamoyo. HIVYO NI MJINI KABISA. Ndani yake kuna: ●Nyumba 2 kila moja inajitegemea. ●Go-down/Ghala la Kuhifadhi Mazao ●Mabanda ya Kufugia Ng’ombe ●Mabanda...
https://advertisingdar.co.tz/ad/shamba-lililoendelezwaeka-20kiromo-bagamoyo/
Copyright 2025 © Advertising Dar. All Rights Reserved. Powered by Mindfield.