Country: Dar es Salaam
Kiwanja kizuri tambarare,
Kwenye Kona, na Mtaa tulivu uliojengeka vizuri.
Umiliki ni HATI (Title Deed) ya Wizara.
Kipo umbali wa wastani wa kilomita 2 kutoka
MBUYUNI/BAGAMOYO ROAD
Na ni mita 400 tu kutoka Barabara ya Lami.
____________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali Wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratibu zangu.
____________Abl/D/L
Ukihitaji kukagua taarifa mapema tafadhali.
Kiwanja kizuri tambarare, Kwenye Kona, na Mtaa tulivu uliojengeka vizuri. Umiliki ni HATI (Title Deed) ya Wizara. Kipo umbali wa wastani wa kilomita 2 kutoka MBUYUNI/BAGAMOYO ROAD Na ni mita 400 tu kutoka Barabara ya Lami. ____________ ANGALIZO: ...
https://advertisingdar.co.tz/ad/kiwanja-chenye-hati-sqm-800-salasalakona/
Copyright 2025 © Advertising Dar. All Rights Reserved. Powered by Mindfield.