Country: Dar es Salaam
Hapa unawekeza na unaanza kuvuna matunda ya Kodi.
Wahi kabla hujachelewa.
Kiwanja kina ukubwa wa SQM. 720.
Umiliki ni HATI (Title Deed) ya Wizara.
Kila apartment moja ina:
Vyumba 2 vya kulala (ambapo Masta ni 1)
Pia kuna Sebule, Jiko,Dining-room, Store na Choo cha Familia ndani.
Kila nyumba inajitegemea LUKU na Huduma ya Maji.
Nyumba zina AC na pia Parking ya kutosha yenye paving.
______________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Gharama ya kukkagua ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe Mnunuzi)
Tafadhali Wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratibu
______________duk
Pia kuna Frem/Maduka 3.
Ukihitaji kukagua taarifa mapema tafadhali.
Hapa unawekeza na unaanza kuvuna matunda ya Kodi. Wahi kabla hujachelewa. Kiwanja kina ukubwa wa SQM. 720. Umiliki ni HATI (Title Deed) ya Wizara. Kila apartment moja ina: Vyumba 2 vya kulala (ambapo Masta ni 1) Pia kuna Sebule, Jiko,Dining-room, Sto...
https://advertisingdar.co.tz/ad/apartment-5-frem-2-290-milioni-tabata-segere/
Copyright 2025 © Advertising Dar. All Rights Reserved. Powered by Mindfield.